Alhamisi, 5 Juni 2014. BIFU LA DIAMOND NA ALI KIBA LACHUKUA SURA MPYA!!! MKURUGENZI WA CLOUDS FM AINGILIA KATI. Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga amesema atajaribu. kukaa na wasanii wa muziki Diamond na Ali Kiba na kuangalia tofauti zao ili kuwapatanisha. Akizungumza na …
به خواندن ادامه دهیدNimeutafakari mziki anaofanya Rajabu kahali maarufu kama Harmonize nikagundua kwa sasa anategemea sana bifu la na Diamond platnumz kuliko ubora wa mziki wake. Hii ina maana kwamba Harmonize bila kushindanishwa na Diamond Platnumz hata kwa wiki mbili tu hii itapelekea kupokea kwake, na ndio maana mara nyingi Harmonize huwa anapita mule mule ...
به خواندن ادامه دهیدDiamond Na Davido Watemwa, Sauti Sol Washinda EMA Nesi Mapenzi. Saturday, October 25, 2014 sauti sol, udaku. Kundi la wasanii linalotia bidii kimziki wa kiafrika Sauti Sol walitangazwa washindi wa tuzo la Best African Act siku ya Alhamisi.
به خواندن ادامه دهیدNakumbuka kipindi bifu la Diamond na Alikiba linaanza lilikuwa ni bifu kubwa sana Kutokana na ushindani ulio kuwepo,Clouds walijitahid kukuza bifu lile ili angalau kumpunguza nguvu Diamond,kweli kipindi cha mwanzoni lile bifu Nahisi Hata Mond Mwenyewe lilimtetemesha kidogo japo hakutaka kujionyesha wazi,
به خواندن ادامه دهیدbifu la alikiba na diamond laelekea pabaya baada ya queen darleen dada wa diamond kufunguka maneno mazito ==>>"machupa kiboko yake pesaa" matukio Mwanamuziki ambae ni dada na Diamond Platnum Queen Darleen amezidi kuchochea chuki na bifu kwa mashabiki wa Ali Kiba na Diamond …
به خواندن ادامه دهیدMan Walter Achochea Bifu La Diamond na Ali Kiba Liendelee. Mtayarishaji wa muziki wa Bongo fleva Man Walter ameibuka na kusema kuwa anatamani Bifu kati ya wasanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz na A... Kimenuka Njombe Mabomu Yarindima Kutawanya Wananchi.
به خواندن ادامه دهیدKupitia kipindi cha XXL, Ijumaa ya November 25, Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, alizungumzia mtazamo wake kuhusu bi...
به خواندن ادامه دهیدMan Walter amedai kuwa kuisha kwa bifu kati ya Ali Kiba na Diamond ni sawa na kuua timu za Simba na Yanga na hivyo kusababisha Kulia kaisa upinzani. Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Mwananchi, Man Walter ambaye ameshafanya kazi na wasanii hao wote wawili katika nyakati tofauti amesema Bifu hilo ndio Linapeleekea muziki kuwa mtamu.
به خواندن ادامه دهیدMAMBO MAKUU MATATU JUU JUU YA BIFU LA DIAMOND NA ALIKIBA. Mapya yanazidi kuibuka kuhusu ushindani wa Diamond na Ali Kiba amba ulianzia katika hitimisho la tamasha la Fiesta lililofanyika katika viwanja vya Leaders Club Dar. Mashabiki wa wasanii hawa wawili wanavutana huku kila mmoja akisema mwenzake ana kipaji na anamfunika mwenzake.
به خواندن ادامه دهید3 years ago Comments Off on Mpoto achochea bifu la Alikiba na Diamond Mwanamuziki wa nyimbo za asili nchini, Mrisho Mpoto maarufu kama Mjomba ambaye kwa sasa anatamba na kibao cha "Nimwage Radhi" alichofanya na msanii toka kundi la WCB, Harmonize amesema anatamani uhasama uliopo kati ya Diamond Platinumz na Ali Kiba uendelee kuwepo daima.
به خواندن ادامه دهیدJINSI BIFU LA DIAMOND NA ALI KIBA LINAVYOWANUFAISHA WASANII WA NJE. seynation Tuesday, April 05, 2016. Ni ukweli kuwa Diamond na Alikiba ni wasanii ambao hawapatani kwa muda mrefu. Kutokana na ugomvi wao uliopo umepelekea mpaka mashabiki wao kuanzisha team, team hizi zinakuwa zinamsupport msanii wao na …
به خواندن ادامه دهیدMANGE KIMAMBI AFUNGUKA MAZITO JUU YA BIFU LA DIAMOND NA ALIKIBA, ATAKA DIAMOND AMUOMBE MSAMAHA ALIKIBA Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka. BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD. Mange Afunguka Kuhusu Beef la Diamond na Alikiba...Adai Diamond inatakiwa Aombe msamaha.. ...
به خواندن ادامه دهید#Alikiba upclose interview at Baraka FM in Mombasa, Kenya #KINGKIBA
به خواندن ادامه دهیدDar es Salaam. Saa chache baada ya msanii, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz kuwaalika Harmonize na Ali Kiba katika tamasha la Wasafi, wawili hao wameibuka na kumjibu. Wakati Ali Kiba akimtaka Diamond kutomfuatilia akitumia neno "unikome", Harmonize amesema hataki kuongea kuhusu jambo hilo.
به خواندن ادامه دهیدNi dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu Diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake.
به خواندن ادامه دهیدDudu Baya-Cheka Kidogo : DUDU BAYA afichua UOVU wa mziki DIAMOND na ALIKIBA watajwa - Download lagu dudu baya nakupenda tu (9.4 ) dan streaming kumpulan lagu dudu baya nakupenda tu mp3 terbaru.. Dudu baya cheka kidogo cute766 from i0.wp.com bifu kati ya msanii wa bongo fleva dudu baya na msanii mwenzake tid lazidi kupamba moto huku . ×cheka ...
به خواندن ادامه دهیدUimbaji wa nani unaupenda zaidi kati ya DIAMOND na ALIKIBA .....Ungependa uwe na mafanikio kama ya nani kati ya DIAMOND na ALIKIBA.....Wewe unafikiri bifu la DIAMOND na ALIKIBA linawaathiri vipi nyinyi wasanii wadogo ..... Ungependa uwe na menejimenti ya namna gani, kama ya DIAMOND au ALIKIBA .....
به خواندن ادامه دهیدMAGUFULI AMALIZA BIFU LA WASANII ALI KIBA NA DIAMOND PLATINUMS Muungwana Blog Oct 23, 2015 Manguli wawili wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu, hatimaye mgombea wa nafasi ya urais kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli amemaliza yale ...
به خواندن ادامه دهیدvideo: bifu la wema sepetu na harmonize lachafua h... young dee afunguka kuhusu madawa ya kulevya na pombe; ... diamond na alikiba bifu lazuka upya.. video ya har... watch & download: g nako ft chin bees x nikki wa i... squat: mazoezi yanayo tumika na wanawake kutengene...
به خواندن ادامه دهیدBifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media. Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu Diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara ...
به خواندن ادامه دهیدPENZI LA DIAMOND PLATNUMZ WEMA SEPETU LIMEISHA!!! Picha Ya Bikini Ya Agness Masogange Inayotisha!!! Jamaa Ajiunganisha Na Mbwa, Apiga Pinafsi Inayotaj... Ali Kiba Awataka Watu Waelewe Kuwa Hana Bifu Na Di... Irene Uwoya: Sipendi Kuvaa Chupi; Masanja Mkandamizi Aingiza Kidole Swala La Wema Se... Venessa Mdee Amuandama Prezzo Kila Mahali, …
به خواندن ادامه دهیدbifu la diamond na alikiba alifikia pabaya kings music yaingizwa upya kwenye bifu lao kisa wasafi
به خواندن ادامه دهیدali kiba speaking about source of mis-understandings between him and diamond plutnum...
به خواندن ادامه دهیدhabari zingine zinazofanana ni pamoja na hiziCHANZO CHA BIFU LA SHILOLE NA ALIKIBA/ ANA KIBURI CHA KISHAMBAKimeumana! SHILOLE amshambulia ALIKIBA "Una kiburi...
به خواندن ادامه دهیدAkiongea na gazeti la Habari Leo wiki hii, Mwana FA alisema bifu la wasanii hao linachangamsha tasnia ya muziki na kusisitiza muhimu ni kudhibiti wasizuriane. "Unajua hakuna kitu kisichokuwa na ushindani, mfano wewe upo STAR SMART lazima mtakuwa na washindani wenu, mnachotakiwa kufanya ninyi waandishi ni kujizuia msizuriane," alisema FA.
به خواندن ادامه دهیدKuna watu wanapenda bifu la Alikiba na Diamond liendelee kuwepo wakidai lina manufaa kiuchumi huu ni ujinga hakuna chuki zenye faida my brothers chukua mfano wa mastar wenzenu Tekno & Wizzy Kid malizeni tofauti zenu.
به خواندن ادامه دهید248. 500. Apr 4, 2016. #1. Imevuja! Harakati za kusaka mafanikio na kufika mbali kimuziki zimeibua jipya kati ya wakali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na Ali Saleh Kiba 'King Kiba' ambapo vita yao imehama kutoka kwa mtu na mtu na sasa imekuwa ya kifamilia. Wachunguzi wa masuala ya burudani Bongo wanadai kwamba, kila ...
به خواندن ادامه دهیدMAGAZETI NOV 07: BIFU la DIAMOND na ALIKIBA, BASATA Yatoa TAMKO!Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Baraza la Sanaa la Taifa(BASATA) lililo c...
به خواندن ادامه دهیدAli Kiba Song Kadogo Mp3 Download. Ali Kiba Song Kadogo Mp3 Download é um livro que pode ser considerado uma demanda no momento. onde, desde que foi publicado, o Ali Kiba Song Kadogo Mp3 Download Book foi muito procurado pelos fãs, devido ao conteúdo de alta qualidade. muitas vezes, a maioria das pessoas deu classificações positivas neste livro sobre Ali Kiba Song Kadogo Mp3 …
به خواندن ادامه دهیدMama Magufuli atoa msaada kwa wafungwa wa Gereza la Ukonga. ... Harmonize atarajia mtoto na mpenzi wake Sarah. Sports. Atletico Madrid yaibamiza Marseille na kutwaa ubingwa wa Europa Ligi. Sports. De Gea ashinda tuzo Golden Glove. Sports. Gerrard ateuliwa kuwa kocha wa Rangers. Sports. Yanga yapeleka mbele mkutano wake.
به خواندن ادامه دهیدMakala: Mwakyembe Tusaidie Kuutafuna Mfupa huu, Ni Zaidi ya Bifu ya Diamond na Ali Kiba 5 years ago Kwa sisi wazazi tunafahamu… ukiona mtoto anakusalimia zaidi ya mara mbili asubuhi tena kwa msisitizo, basi ujue kuna ombi lake nyuma ya hizo salamu, na huenda likawa ombi zito na …
به خواندن ادامه دهید